Uwanja wa michezo Al Bayda

Jengo nchini Libya

Uwanja wa michezo wa Al Bayda ambao hujulikana pia kama Al Watheeq al Khadhraa Stadium ni uwanja unatumika kwa Michezo mbalimbali na unapatikana huko mjini Bayda nchini Libya. Ulitumika sana zaidi kwa mchezo wa mpira wa miguu na ulitumiwa kama uwanja wa nyumbani wa timu ya Al Akhdar Al Bayda. Uwanja huu unaingiza idadi ya watu 10,000 [1].

uwanja wa Al Bayda

Viungo Vya Nje hariri

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo Al Bayda kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.