Valentina, Thea na Paulo
Valentina, Thea na Paulo (walifariki Kaisarea Baharini, leo nchini Israeli, 309) walikuwa Wakristo ambao waliuawa katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano; hao mabikira wawili walichomwa moto, lakini Paulo alikatwa kichwa[1]. Thea alitokea Gaza, Palestina.
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |