Vilnius
Vilnius ni mji mkuu wa Lituanya. Una wakazi 558,165 (mwaka 2009).
JiografiaEdit
Eneo lake ni km² 401.
HistoriaEdit
Mji ulianzishwa 1387.
PichaEdit
Viungo vya njeEdit
Makala hii kuhusu maeneo ya Lituanya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Vilnius kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |