Waadventista Wasabato

Waadventista Wasabato ni Wakristo Waadventisti wa madhehebu yanayosisitiza ujio wa pili wa Yesu yakisema uko jirani kutokea na kwamba utawahi wafuasi wake wakishika Sabato, si Jumapili.

Kanisa la Waadventisti huko Jyväskylä, Finland.

Kati ya makundi yaliyoanzishwa Marekani baada ya utabiri wa William Miller kwamba ujio huo eti, utatokea tarehe 22 Oktoba 1844, lililoenea zaidi ni lile la Waadventista Wasabato (mwanzo rasmi mwaka 1863) ambalo kwa sasa lina waumini zaidi ya 17 milioni duniani kote.

Matawi ya Waadventisti yaliyotokea katika karne ya 19.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Butler, Jonathan. "From Millerism to Seventh-Day Adventism: Boundlessness to Consolidation", Church History, Vol. 55, 1986
  • Jordan, Anne Devereaux. The Seventh-Day Adventists: A History (1988)
  • Land, Gary. Adventism in America: A History (1998)
  • Land, Gary. Historical Dictionary of the Seventh-Day Adventists (2005)
  • Morgan, Douglas. Adventism and the American Republic: The Public Involvement of a Major Apocalyptic Movement (University of Tennessee Press, 2001) ISBN 1-57233-111-9
  • Tarling, Lowell R. (1981). The Edges of Seventh-day Adventism: A Study of Separatist Groups Emerging from the Seventh-day Adventist Church (1844–1980). Barragga Bay, New South Wales: Galilee Publications. p. 81. ISBN 0-9593457-0-1. 

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waadventista Wasabato kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.