Wabajuni ni kabila la watu wanaoishi hasa katika visiwa vya Bajuni na sehemu za pwani za jirani upande wa bara kati ya Kismayo (Somalia) na Mombasa (Kenya)[3][4].

Bajuni
Maeneo penye idadi kubwa kiasi
 Kenya 69,110[1] [2]
 Somalia 10,000 (1970s estimate) [3]
Lugha

Kibajuni, Swahili

Makundi yaliyo karibu kiukoo au kiutamaduni

Waswahili, Wakomoro

Asili yao ni mchanganyiko wa Wakhoisan na Wabantu, lakini pia Waarabu, Waajemi, Wasomali[3] na hata Waindonesia.[5]

Lugha yao ni Kibajuni, lahaja ya Kiswahili.

Upande wa dini ni Waislamu[6].

Tanbihi hariri

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2014-02-02. Iliwekwa mnamo 2019-02-22.
  2. Nurse, p.6.
  3. 3.0 3.1 3.2 Abdullahi, p.11.
  4. Mwakikagile, p.102.
  5. Gregory Norton, Flyktningeråd (Norway). Land, property, and housing in Somalia. Norwegian Refugee Council. p. 52. 
  6. Swahili, Bajuni. Joshua Project. Iliwekwa mnamo 2015-11-12.

Marejeo hariri