Walter Mongare Nyambane

mwanamuziki wa Kenya

Walter "Nyambane" Mongare (aliyezaliwa 1975) ni mwanasarakasi, mwigizaji na mwimbaji wa nyimbo za maskharani mzaliwa wa Kenya. Amekuwa maarufu katika sarakasi ya kaya ijulikanayo kama Reddykyulass. Ni maarufu sana kwa kuigiza kama Rais wa Kenya Daniel Arap Moi katika Reddykyulass.

Walter Mongare

Elimu hariri

Walter alihudhuria Shule ya upili ya Lenana, kabla ya kujiunga na Chuo Kikuu cha Kenyatta.

Redio hariri

Amewahi kufanya kazi na shirika la utangazaji la Kiss 100 kama mtangazaji wa kipindi cha asubuhi The Big Breakfast huku akishirikiana na mtangazaji mwenzake Caroline Mutuku. Hatimaye alitoka huko na kwenda kufanya kazi ya utangazaji katika kituo cha Q Fm ambacho kinamilikiwa na Kampuni ya Utangazaji ya Nation Media Group.

Runinga hariri

Ameigiza katika Sarakasi ya Redykyulass, msimu wa 1-4.
Pia ameigiza katika Red KORNA, msimu wa 1 na 2.
Licha ya hayo, Walter hujishughulisha na matangazo ya Biashara katika Runinga pia.

Nyimbo zake hariri

Sweet Banana akimshirikisha Talia
Must be Nyambane akimshirikisha Natasha Gatabaki
Slowly my Dear akimshirikisha Sanaipei Tande / Megcy
Dereva wawili akishirikiana na Prince Adio

Marejeo hariri

Viungo vya Nje hariri

Video hariri