Buhigwe ni wilaya mojawapo kati ya nane za mkoa wa Kigoma yenye postikodi namba 47500, ambayo ilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012.

Kufuatana na sensa ya 2012 idadi a wakazi ilikuwa watu 254,342. Katika sensa ya mwaka 2022 idadi ilikuwa 240,005 [1].

Makao makuu ya wilaya yako Buhigwe.

Marejeo

  1. https://www.nbs.go.tz
  Kata za Wilaya ya Buhigwe - Mkoa wa Kigoma - Tanzania  

Biharu | Buhigwe | Bukuba | Janda | Kajana | Kibande | Kibwigwa | Kilelema | Kinazi | Mkatanga | Mubanga | Mugera | Muhinda | Munanila | Munyegera | Munzeze | Muyama | Mwayaya | Nyamugali | Rusaba

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kigoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Buhigwe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.