Wilaya ya Zoukougbeu
Wilaya ya Cote d'Ivoire
Wilaya ya Zoukougbeu (kwa Kifaransa: département de Zoukougbeu) ni moja kati ya Wilaya nne za Mkoa wa Haut-Sassandra ulioko Magharibi mwa Cote d'Ivoire.
Wilaya ya Zoukougbeu | |
Eneo la Wilaya ya Zoukougbeu. | |
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Sassandra-Marahoué |
Mkoa | Haut-Sassandra |
Serikali[1] | |
- Prefect | Bilé Mariame Kouao |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 110,514 |
GMT | (UTC+0) |
Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 110,514.
Makao makuu ya eneo hilo ni Zoukougbeu.
Wilaya ya Zoukougbeu sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo:
Marejeo hariri
- ↑ "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Zoukougbeu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |