Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika (kwa Kiingereza: Ministry of Agriculture, Food and Cooperatives kifupi (KILIMO)) ilikuwa wizara ya serikali nchini Tanzania.

Ofisi kuu za wizara hii zilikuwa jijini Dar es Salaam.

Serikali ya awamu ya tano iliibadilisha wizara hii na kuiunganisha na wizara ya Mifugo na Uvuvi hivyo kuwa wizara moja wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Baadaye serikali ikaona umuhimu wa kilimo kwa taifa ikaigawa tena wizara hii kuwa wizara mbili: Wizara ya Kilimo na Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

Marejeo hariri

Tazama pia hariri

Viungo vya nje hariri