Yasemin Adar (alizaliwa 6 Desemba 1991) ni mwanamiereka wa Uturuki anayeshindana katika miereka ya uzito wa kilo 76.[1][2] Yeye ni bingwa wa Dunia na bingwa mara nne wa Uropa. Pia alishinda moja ya medali za shaba katika mashindano ya miereka ya wanawake wenye kilogramu 76 kwenye Olimpiki ya Majira ya 2020 huko Tokyo, Japan.[3][4]

Yasemin Adar
Alizaliwa 6 Desemba 1991
Kazi yake mwanamiereka wa Uturuki anayeshindana katika miereka ya uzito wa kilo 76.

Marejeo hariri

  1. "TURKSPORU - Türk sporunu her şeyimizle destekliyoruz.". turksporu.com.tr (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-11-25. 
  2. "International Wrestling Database". www.iat.uni-leipzig.de. Iliwekwa mnamo 2021-11-25. 
  3. "López etches name into history books by clinching fourth Olympic wrestling title". www.insidethegames.biz. 1627916940. Iliwekwa mnamo 2021-11-25.  Check date values in: |date= (help)
  4. IOC (2018-04-23). "Tokyo 2020 Summer Olympics - Athletes, Medals & Results". Olympics.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-11-25.