Yohane Mwema (641 hivi - 669) anatajwa kama askofu wa kale wa Milano, nchini Italia, ambaye alirudisha makao makuu ya jimbo katika mji huo kutoka Genova yalipokaa miaka 70 kwa sababu ya dhuluma ya Walombardi[1].

Masalia ya Yohane Mwema katika kanisa kuu la Milano.

Kutokana na wema na uadilifu wake, tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Januari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Martyrologium Romanum
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.