Zachary Onyonka
Zachary Onyonka (1938 - 2002) alikuwa mwanasiasa wa Kenya. Alikuwa mbunge, akiwakilisha Eneo bunge la Kitutu Masaba.
Historia hariri
Onyonka alizaliwa mnamo 1938 katika sehemu za Kisii nchini Kenya.
Ubunge hariri
Alichaguliwa mara ya kwanza kama mbunge wa Kitutu West wakati jimbo hili lilipoanzishwa mnamo 1969. Abakia kuwa mbunge wa Jimbo hili la uchaguzi hadi 1988 wakati jimbo hilo liligawanywa na kuzaa jimbo jipya la Kitutu Chache. Onyonka alikuwa mbunge wa jimbo hili jipya hadi kifo chake mnamo 2002.
Uwaziri hariri
Onyonka alihudumu kama Waziri wa Mambo ya Nje kati ya 1987 - 1988.
Kifo chake hariri
Aliaga dunia mnamo 2002 wakati angali akihudumu kama mbunge wa Kitutu Chache.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
Viungo vya nje hariri
- Kurzbiografie in rulers.org
- Liste der Außenminister Kenias in rulers.org
- Nachruf (Kenya National Assembly Official Record (Hansard) 23. Okt. 1996)
Alitanguliwa na Elijah Mwangale |
Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya 1987-1988 |
Akafuatiwa na Robert Ouko (mara ya pili) |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Zachary Onyonka kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |