Zakaria wa Aleksandria
Zakaria wa Aleksandria (alifariki 22 Novemba 1032) kuanzia mwaka 1004 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 64 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |