Zola D
Mwanamuziki wa Tanzania
David Michael Mlope au Zola D (amezaliwa 21 Januari 1980) ni mwimbaji wa muziki wa hip hop laini kutoka nchini Tanzania.
Zola D | |
---|---|
| |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | David Michael Mlope |
Amezaliwa | 20 Januari 1980 |
Aina ya muziki | Hop hop |
Kazi yake | Rapa |
Ame/Wameshirikiana na | Dknob, Benjamin wa Mambo Jambo |
Huenda akawa anafahamika zaidi kwa vibao vyake kadhaa vilivyoweza kutikisa jiji la Dar es Salaam kwa kipindi kirefu; vibao hivyo ni: "Jana sio Leo" na "Moto wa Tippa".
Viungo vya nje hariri
- Tovuti ya Zola D Archived 12 Aprili 2016 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Zola D kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |