Zola D

Mwanamuziki wa Tanzania

David Michael Mlope au Zola D (amezaliwa 21 Januari 1980) ni mwimbaji wa muziki wa hip hop laini kutoka nchini Tanzania.

Zola D

Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa David Michael Mlope
Amezaliwa 20 Januari 1980 (1980-01-20) (umri 44)
Aina ya muziki Hop hop
Kazi yake Rapa
Ame/Wameshirikiana na Dknob, Benjamin wa Mambo Jambo

Huenda akawa anafahamika zaidi kwa vibao vyake kadhaa vilivyoweza kutikisa jiji la Dar es Salaam kwa kipindi kirefu; vibao hivyo ni: "Jana sio Leo" na "Moto wa Tippa".

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Zola D kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.