Enriko wa Osso
Mwandishi wa Kihispania
Enriko wa Osso (jina kamili kwa Kihispania: Enrique de Ossó i Cervelló; Vinebre, Tarragona, Hispania, 16 Oktoba 1840 – Gilet, Valencia, Hispania, 27 Januari 1896) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki.
Pamoja na kuwa paroko, na kuwajibika hasa katika katekesi, alianzisha jumuia Kikosi cha Mt. Teresa wa Yesu kwa ajili ya malezi ya wasichana. Alipoondolewa, alikwenda kuishi kwa Ndugu Wadogo [1][2].
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 14 Oktoba 1979 na mtakatifu tarehe 16 Juni 1993.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Butler's Lives of the Saints Volume I, edited by Alban Butler and Paul Burns, pgs 201 and 202
- ↑ Saint Enric de Osso y Cervello. Saints SQPN (21 March 2016). Retrieved on 28 September 2016.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |