Majadiliano:Riwaya

Latest comment: miaka 13 iliyopita by Baba Tabita

kuhariri kazi ya waandishi wa riwaya si jambo la kawaida sana kama watu wengine wanavyofikili.mfano katika riwaya ya said a mohamed ya 'utengano' msaii ametumia mbinu mbali mbali zalugha je ungependa kuzijua? fuatiliana nami muda si mrefu..........karibu sana...

Karibu sana! Ingawa sijui kama utasoma jibu langu hapa kwa vile hujajiandikisha lakini tujaribu. Nimeongeza vichwa viwili ndani ya makala nikiomba uongeze habari ya uhariri chini ya kichwa husika. Tutafurahia mchango wako. Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 10:16, 19 Novemba 2010 (UTC)Reply
Return to "Riwaya" page.