Black Leopard F.C Under20
Joined 13 Agosti 2015
Jina la utani | chui weusi |
---|---|
Uwanja | Tanganyika Parkers |
Mwenyekiti | Samwel Yellah Black |
Kocha | Samwel Yellah Black |
Black Leopard Football Club Under20 ni timu ya kandanda ya vijana ilioanzishwa mnamo mwaka 2014 Desemba 4 mjini mbeya katika jiji la Mbalizi nchini Tanzania.
Wachezaji hariri
Historia hariri
Black Leopard ni timu ya vijana ilioanzishwa mnamo mwaka 2014 na vijana wa mbalizi Black Leopard ilimpata kocha mwaka 2015 ambaye ni Samwel Yellah Black.
viungo vya nje hariri
kuhusu Black leopard under20 katika tovuti ya facebook