Pabbie
Imejiunga 19 Juni 2021
CHUO KIKUU CHA IRINGA hariri
Chuo kikuu cha Iringa ni chuo kikuu binafsi kinachopatikana mkoani Iringa, Tanzania.[1]
Historia hariri
Mwaka 1995 chuo kikuu cha Iringa kilianza, kikiwa kama chuo kikuu kishiriki chini ya chuo kikuu cha Tumaini[2].
Mwaka 1997 kikaanza kutoa astashahada, stashahada pamoja na shahada.
Tarehe 25 Oktoba 2013, chuo kikuu cha Iringa kikapewa rasmi hadhi ya chuo kikuu kutoka chuo kikuu kishiriki.
Taaluma. hariri
Chuo kikuu cha Iringa kina vitivo sita, ambavyo ni:
- Kitivo cha Sheria
- Kitivo cha Teolojia
- Kitivo cha Saikolojia
- Kitivo cha Sayansi na Elimu
- Kitivo cha Sanaa na Sayansi ya Jamii
- Kitivo cha Biashara na Uchumi
Vitivo hivyo vinavyotoa elimu katika fani mbalimbali kwa ngazi za:
- Astashahada
- Stashahada
- Shahada
- Shahada ya Uzamili [3]
Marejeo hariri
[[Jamii:Vyuo vikuu vya tanzania]]
- ↑ https://www.tcu.go.tz/sites/default/files/LIST%20OF%20%20UNIVERSITY%20INSTITUTIONS%20IN%20TZ%20AS%20OF%2031.8.2019.pdf
- ↑ "Historia ya chuo kikuu Iringa". www.uoi.ac.tz (kwa en-gb). Iliwekwa mnamo 2019-11-08.
- ↑ "Wayback Machine". web.archive.org. 2015-09-24. Iliwekwa mnamo 2021-06-19.