Mtumiaji:Zenman/Mradi wa Afrika
Makala iliyochaguliwa hariri
- Assia Djebar
- Eratosthenes
- Kampeni za Kivita katika Afrika ya Mashariki (Vita ya Kwanza ya Dunia)
- Zanj
- Jimbo Katoliki la Zanzibar
- Kanisa la Biblia Tanzania
- Chuo Kikuu cha Cape Town
- Chuo Kikuu cha Addis Ababa
- Hifadhi ya Taifa ya Hell's Gate
- Ziwa Nakuru
- Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Mashariki
- Hifadhi ya Serengeti
Makala iliyochaguliwa kwa Mei 2012 hariri
Zanj (Kiarabu na Kifarsi زنج) ni neno lililotumiwa na waandishi Waislamu wa zamani kutaja watu weusi kutoka Afrika ya Mashariki na pia kwa maana ya kijiografia kutaja eneo la Afrika ya Mashariki. Wanajiografia Waislamu walihesabu pwani takriban kati ya Mogadishu na kisiwa cha Pemba kuwa "Zanj". Kusini yake waliita nchji ya Sofala na kaskazini yake nchi ya Berbera kufuatana na mabandari ya nyakati ziule zilizojulikana kwao. Uwezekano mkubwa ni neno hili Zanj latokana na jina la kijiografia la awali "Azania" likatumiwa baadaye kutaja hasa kisiwa cha Zanzibar. Baadaye Zanj imejulikana kama nchi ya Waswahili. Waandishi Waarabu wa kale waliita hasa watu weusi kutoka Afrika ya Mashariki kwa jina hili la "Zanj". Waliwatofautiana na Waafrika weusi wengine kama Wanubia (taz. Nubia) au Wahabash (taz. Uhabeshi). Walitazamiwa kuwa watu wenye hali na maendeleo ya duni kulingana na wenyeji wengine wa Afrika iliyojulikana kwa Waarabu.
Je, wajua...? hariri
- Ngugi wa Thiongo
- Ubuntu
- Gombe
- Hifadhi ya Arusha
- Hifadhi ya kisiwa cha Saanane
- Hifadhi ya Mikumi
- Hifadhi ya Ruaha
- Milima ya Udzungwa
Wasifu Uliochaguliwa hariri
- 01 Januari 2012 : Dennis Oliech
- 01 Februari 2012 : Haile Selassie
- 01 Machi 2012 : Patrice Lumumba
- 01 Aprili 2012 : Robert Mugabe
- 01 Mei 2012 : Shaka
- 01 Juni 2012 : Desmond Tutu
- 01 Julai 2012 : Kofi Annan
- 01 Agosti 2012 : Muammar al-Gaddafi
- 01 Septemba 2012 : Idris I wa Libya
- 01 Oktoba 2012 : Mohamed Abdelaziz
- 01 Novemba 2012 : Nelson Mandela
- 01 Desemba 2012 : Olusegun Obasanjo
Wasifu Uliochaguliwa kwa Mei 2012 hariri
Shaka (pia: Tshaka, Tchaka au Chaka; halafu: Shaka Zulu, Shaka ka Senzangakhona) (* takriban 1781 - 1828 BK) alikuwa kiongozi wa Wazulu aliyebadilisha ukoo mdogo wa Kinguni kuwa kabila au taifa kubwa lililotawala maeneo mapana ya Afrika Kusini hasa Natal ya leo. Sifa zake zimetokana na uwezo wa kupanusha utawala wake kutoka eneo ndogo la 260 km² kuwa 28.500 km², kuvunja nguvu ya makabila mengine na kuyaunganisha na taifa lake. Katika historia ya kijeshi ya Afrika alianzisha mbinu mpya zilizopanusha uwezo na enzi yake.
kuchaguliwa picha kwa 2012 hariri
-
01 Januari 2012
Picha inayoonyesha jahazi ndogo mjini Zanzibar. -
01 Februari 2012
Yasmine Hammamet Medina, Tunisia. -
01 Machi 2012
Shelisheli, kisiwa cha Mahé. -
01 Aprili 2012
Apalis flavida kutoka Abuko, Gambia. -
01 Mei 2012
Murchison Falls kutoka juu, Uganda. -
01 Julai 2012
Machweo ya jua katika Mto Nile kwa kisiwa cha Sherar, Dar al-Manas, kaskazini mwa Sudan. -
01 Agosti 2012
Chuo Kikuu cha Kinshasa, Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia. -
01 Septemba 2012
bustani ya Majorelle, Morocco. -
01 Oktoba 2012
Chuo Kikuu cha Zimbabwe. -
01 Novemba 2012
Ngoma kutoka Rwanda. -
01 Desemba 2012
Makuu ya Embu Kenya.
kuchaguliwa picha kwa Mei 2012 hariri
(kupata bango)