Achta Saleh Damane

Achta Saleh Damane ni mwandishi wa habari na mwanasiasa wa Chad.[1]

Tangu Juni 30, 2019, Damane amekuwa Katibu wa Mambo ya Nje.[2]

Kazi hariri

Damane ameshikilia nyadhifa kadhaa katika Serikali ya Chad, ikiwa ni pamoja na Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Mawasiliano, Katibu wa Mambo ya Nje,[1] na katibu mkuu wa Wizara ya Mawasiliano.

Kuanzia Novemba 9, 2018 hadi Juni 30, 2019, Damane alikuwa Katibu wa Elimu ya Taifa na Uhamasishaji wa Kiraia.[3][4]

Marejeo hariri

  1. 1.0 1.1 "French.news.cn-Afrique: toute l'actualité sur l'Afrique". french.xinhuanet.com. Iliwekwa mnamo Jun 10, 2020. 
  2. "Mini remaniement : 3 départs pour 4 entrées". Jul 1, 2019. Iliwekwa mnamo Jun 10, 2020. 
  3. "Composition du gouvernement". Ambassade de France au Tchad. Iliwekwa mnamo Jun 10, 2020. 
  4. "Chad Chiefs 2020, CIA World Factbook". theodora.com. Iliwekwa mnamo Jun 10, 2020. 
  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Achta Saleh Damane kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.