Amnesty
Amnesty inajulikana kama msamaha unatolewa na serekali kwa kikundi cha watu, kwa kawaida kwa ajili ya makosa ya kisiasa;[1] kitendo cha mamlaka huru kusamehe kikundi cha watu flani ambao wamefunguliwa mashitaka ila bado hawaja hukumiwa. Japo neno Msamaha wa jumla ina maana sawa.[2] Amnesty inajumuisha zaidi ya msamaha, kwa kiasi inafuta ukumbusho wote wa kosa. Hii inazidi kutumika kuelezea wazo la uhuru na kurejea pale wafungwa wanapoachwa huru.
MarejeoEdit
- ↑ "Amnesty", 1911 Encyclopædia Britannica, Volume 1, retrieved 2022-08-15
- ↑ GENERAL PARDON Definition & Meaning - Black's Law Dictionary (en-US). The Law Dictionary (2013-03-28). Iliwekwa mnamo 2022-08-15.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |