Aquae Sirenses (Acque Sirensi) pia inajulikana kama Aquaesirensis ni koloni la kale la Kirumi na jina la jimbo la zamani la Kanisa Katoliki nchini Algeria.[1][2][3]

Bango la Bouhnifia (Algeria).

Marejeo hariri

  1. Pius Bonifacius Gams, Series episcoporum Ecclesiae Catholicae, Leipzig 1931, p. 464
  2. Stefano Antonio Morcelli, Africa christiana, Volume I, Brescia 1816, pp. 81–82.
  3. J. Mesnage L'Afrique chrétienne, Paris 1912, p. 479.
  Makala hii kuhusu maeneo ya Algeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Aquae Sirenses kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.