Ayakha Melithafa
Mwanaharakati wa mazingira kutoka Afrika Kusini
Ayakha Melithafa (alizaliwa mwaka 2003 [1]) ni mwanaharakati wa mazingira.[2][3][4][5]

Ayakha Melikhafa, 2020.
Maisha ya awali na elimuEdit
Melithafa anatokea katika eneo la mto Eersten, Cape ya magharibi, mji mdogo wa Cape Town.[6]
Kwa sasa ni mwanafunzi wa chuo cha sayansi na teknolojia huko Khayelitsha.[7]
MarejeoEdit
- ↑ "Mzansi's teen environmental activist Ayakha Melithafa to feature at WEF", www.msn.com. Retrieved on 20 May 2020.
- ↑ #ChildrenVsClimateCrisis.
- ↑ Sengupta, Somini. "Meet 8 Youth Protest Leaders", The New York Times, 2019-09-20.
- ↑ Feni, Masixole. "South Africans come out in support of #ClimateStrike", 2019-09-20.
- ↑ Singh, Maanvi. "Global climate strike: Greta Thunberg and school students lead climate crisis protest – as it happened", The Guardian, 2019-09-21.
- ↑ Ishmail, Sukaina. "From Eerste River to Davos for 17-year-old SA climate activist", 7 January 2020.
- ↑ Knight, Tessa. OUR BURNING PLANET: Cape Town teen climate activist Ayakha Melithafa takes drought to the UN (en).
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ayakha Melithafa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |