Badreddine Benachour
Badreddine Benachour (alizaliwa 2 Julai 1994) ni mchezaji wa soka wa Morocco anayecheza kwa sasa katika klabu ya Ittihad Tanger kama mlinda mlango.[1][2]
Youth career | |||
---|---|---|---|
Chuo cha Soka cha Mohammed VI | |||
2011–2013 | Wydad AC | ||
Senior career* | |||
Miaka | Timu | Apps† | (Gls)† |
2013–2020 | Wydad AC | ||
2020 | → SCC Mohammédia (kwa mkopo) | ||
2020–2021 | TAS de Casablanca | ||
2021–2022 | Al-Kawkab | ||
2022– | Ittihad Tanger | 8 | (0) |
Timu ya Taifa ya Kandanda | |||
2015– | Morocco U23 | 5 | (1) |
* Senior club appearances and goals counted for the domestic league only. † Appearances (Goals). |
Heshima hariri
Binafsi
- Toulon Tournament Mlinda Mlango Bora: 2015
Viungo vya Nje hariri
- "CAF - Competitions - 20th Edition of CAF Champions League - Team Details - Player Details". Cafonline.com. 1994-09-08. Iliwekwa mnamo 2017-01-09.
Marejeo hariri
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Badreddine Benachour kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |