Batile Alake

mwimbaji waka wa Nigeria


Batile au Batili Alake (alifariki 2013) alikuwa mwimbaji maarufu wa nchini Nigeria . [1] [2]

Batili Alake
Amezaliwa
Ijebu Igbo
Amekufa 2013
Nchi Nigeria
Kazi yake Mwanamuziki


Maisha binafsi hariri

Batile Alake alizaliwa Ijebu Igbo, katika Jimbo la Ogun . Alhaji Batile Alake alifariki mwaka 2013, akiwa ana kadiriwa kua na umri wa miaka 78. Umri wake sahihi haukujulikana. [3]

Marejeo hariri

  1. Bianchi, Ugo (1994). The notion of "religion" in comparative research: selected proceedings of. L'ERMA di BRETSCHNEIDER. uk. 181. ISBN 88-7062-852-3. 
  2. Shepherd, John; Dave Laing (1994). Continuum encyclopedia of popular music of the world, Volumes 3-7. Continuum. uk. 165. ISBN 0-8264-7436-5. 
  3. Abiodun Onafuye/Abeokuta, "Waka Creator, Batili Alake, Dies" PM News Nigeria (August 10, 2013).
  Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Batile Alake kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.