Bendera ya Monako
Bendera ya Monako ina milia miwili ya kulala ya nyekundu (juu) na nyeupe (chini). Rangi hizi mbili zimepatikana katika nembo ya familia ya Grimaldi tangu mwaka 1339.
Muundo wa bendera uliopo ulianzishwa rasmi mwaka 1881.
Bendera ya mtemi na serikali hariri
Ofisi ya Mtemi na ofisi za serikali yake hutumia bendera inayoonyesha nembo la Monako.