Binali Yıldırım

Binali Yıldırım (amezaliwa 20 Desemba 1955) ni mwanasiasa wa Uturuki ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa 27 na wa mwisho wa Uturuki kutoka mwaka 2016 hadi 2018.

Binali Yıldırım (cropped version).jpg
Crystal personal.svg Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Binali Yıldırım kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.