Keith Anderson (anajulikana zaidi kwa jina la kisanii Bob Andy, 28 Oktoba 1944 – 27 Machi 2020) alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa reggae kutoka Jamaika.

Alijulikana sana kama mmoja wa watunzi wa nyimbo wenye ushawishi mkubwa katika muziki wa reggae.[1][2]

Marejeo

hariri
  1. Katz, David. "Bob Andy obituary", 30 March 2020. 
  2. "We Remember Bob Andy". AllMusic.