Cassandre Beaugrand

Cassandre Beaugrand (alizaliwa Mei 23, 1997 huko Livry-Gargan)[1] ni mwanariadha wa kukimbia, kuogelea na kuendesha baiskeli wa Ufaransa, ni bingwa msomi wa Taifa 2014, bingwa wa taifa wa vijana 2013 na 2014,[2] bingwa wa timu ya vijana Ulaya 2013 na bingwa wa dunia kwa vijana 2014.[3]

Beaugrand kwenye 2022
Beaugrand kwenye 2022

Kutoka 2006 hadi 2011, Cassandre Beaugrand aliiwakilisha klabu yake ya nyumbani Livry-Gargan Athlétisme kuanzia hapo amekuwa akipewa mafunzo na baba yake Ludovic Beaugrand

Marejeo hariri

  1. "les Sélections Internationales". bases.athle.fr. Iliwekwa mnamo 2021-11-27. 
  2. Coste, Olivier; Dupont, Anne Charlotte; Lieux, Romain (2021), "Le triathlon, un outil pour la santé", Médecine du Triathlon (Elsevier): 117–126, iliwekwa mnamo 2021-11-27 
  3. Sietske Witvoet (2014-03-31). "Polyethylene wear study on the triathlon total knee prosthesis". http://isrctn.org/>. Iliwekwa mnamo 2021-11-27. 
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Cassandre Beaugrand kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.