Charles Ogessa Mlingwa
Charles Ogessa Mlingwa (amezaliwa 6 Machi, 1959) ni mbunge wa jimbo la Shinyanga Mjini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Mengi kuhusu Charles Ogessa Mlingwa (21 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |