Christine Devine

Mwandishi wa habari kutoka Marekani

Christine Devine (alizaliwa mnamo 2 Novemba, 1965) ni mwandishi wa televisheni ya nchini Marekani huko Los Angeles. Ni muendeshaji wa kipindi cha KTTV's Fox 11 News.

Christine Devine.
Amezaliwa Christine Devine.
2 November 1965
Marekani
Jina lingine christine
Kazi yake Mwandishi wa televisheni

Ameshinda Emmy 16, pamoja na Tuzo ya kifahari ya Magavana.[1] Emmy sita zilikuwa za umahiri wake na habari bora. [2]

Marejeo hariri

  1. Desk, News. "Christine Devine recipient of the 63rd LA Area Governors Award & NBC4 Tops 63rd Annual Los Angeles Area Emmys | Diversity News Magazine Published by Diversity News Publications - Arts & Entertainment, Awards, Breaking News, Celebrity News, Features, Fashion, Movies, Sports". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-08-26. Iliwekwa mnamo 2017-03-02.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help)
  2. "Gale - Enter Product Login". go.galegroup.com. Iliwekwa mnamo 2017-03-02. 
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Christine Devine kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.