Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Ghana
Chuo Kikuu cha Katoliki cha Ghana ni moja ya vyuo vikuu vya binafsi nchini Ghana. Iko Fiapre, Sunyani katika Mkoa wa Brong Ahafo. Kilianzishwa na Kanisa Katoliki kikakubaliwa na Bodi Kitaifa ya kikubali tarehe 4 Desemba 2002. [1] [2] Kundi la kwanza la wanafunzi lilianza tarehe 3 Machi 2003. [2] Uzinduzi rasmi wa chuo kikuu ulikuwa tarehe 13 november 2003. [3]
Catholic University College of Ghana | |
---|---|
Mahali | {{{mji}}} |
Affiliations | University of Ghana, Boston College, Catholic University of America, Saint Mary’s University |
Tovuti | www.fiuc.org/CUCG/ |
Mipangilio hariri
Chuo kikuu kina vitivo vitatu.
Kitivo cha Uchumi na Uongozi wa Biashara hariri
Kitivo hiki huendesha programu zinazopelekea tuzo ya daraja zifuatazo. [4]
Kitivo ya Habari na Sayansi ya Mawasiliano na Teknolojia hariri
Kitivo hiki kina programu za miaka minne zinazopelekea kutuzwa kwa tuzo la B.Sc.in Computer Science. [5]
Kitivo cha Masomo ya Kidini hariri
Vituo hariri
- Kituo cha Masomo ya kuongeza faida
- Kituo cha 'Applied Research, Consultancy and Community Outreach' - ili kukuza utafiti katika Chuo Kikuu na kuwa unganishi la ubunifu na wanajamii.
Mahusiano hariri
Chuo kikuu ina mahusiano kadhaa na taasisi zingine za kielimu. [6]
Angalia Pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Accredited Institutions - University Colleges. National Accreditation Board. Jalada kutoka ya awali juu ya 2007-10-19. Iliwekwa mnamo 2007-03-15.
- ↑ 2.0 2.1 The Pioneer Yearbook 2006 - The Senior Class of 2006 (PDF). Yearbook. Catholic University College of Ghana (2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2007-07-09. Iliwekwa mnamo 2007-03-15.
- ↑ The Pioneer Yearbook 2006 - The Senior Class of 2006 (PDF). Yearbook. Catholic University College of Ghana (2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2007-07-09. Iliwekwa mnamo 2007-03-15.
- ↑ Faculty of Economic and Business Administration Programme of Studies. Official Website. Catholic University of Ghana. Jalada kutoka ya awali juu ya 2007-07-01. Iliwekwa mnamo 2007-03-15.
- ↑ Programme for B.Sc, Computer Science (CS) (pdf). B.Sc. Computer Science Programme. Catholic University of Ghana (2005). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-05-24. Iliwekwa mnamo 2007-03-15.
- ↑ The Pioneer Yearbook 2006 - The Senior Class of 2006 (pdf). Year book. Cahtolic University of Ghana (2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2007-07-09. Iliwekwa mnamo 2007-03-15.
- ↑ About Us - Profile of the University. Official Website. University of Ghana (2005). Jalada kutoka ya awali juu ya 2007-02-10. Iliwekwa mnamo 2007-03-15.
Viungo vya nje hariri
- Tovuti Rasmi Archived 29 Aprili 2007 at the Wayback Machine.
- Bodi ya Taifa ya Makubalio Archived 18 Aprili 2010 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Ghana kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |