David Bacon ni mbunifu programu za kompyuta.

Kazi hariri

Alianza kubuni programu za kompyuta akiwa na umri wa miaka 16 na alifanya kazi kwa kampuni chipukizi akiwa mwaka wake wa mwisho wa elimu yake ya sekondari.

Akiwa chuo cha Columbia, Chuo Kikuu cha Columbia, alifanya kazi kwanza na David E. Shaw kwenye NON-VON Supercomputer[1].

Marejeo hariri

  1. Shaw, David Elliot (1982). "The NON-VON Supercomputer" (kwa Kiingereza). doi:10.7916/D8PV6TC0. 
  Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu David F. Bacon kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.