Maunzilaini

sehemu isiyoonekana ya kuchakatwa ya kompyuta
(Elekezwa kutoka Programu)

Maunzilaini (pia: maunzi laini[1], kwa Kiingereza software) ni jumla ya programu na data zinazodhibiti utendaji wa kazi ya kompyuta. Ni tofauti na mashine ya kompyuta yenyewe inayotajwa kama maunzingumu au hardware.

Kujenga programu Edit

Katika mfumo wa programu, programu ni data ambayo hutumiwa na processor kama maelekezo ya kudhibiti mfumo wa kompyuta.[2]

Marejeo Edit

  1. Maunzi laini au maunzilaini ni pendekezo la Kamusi ya KSK; Orodha za Microsoft na Kilinux hutumia "programu", linganisha orodha ya klnX IT Extended Glossary May 2009
  2. Kutengeneza programu na aina zake.
  • Kiputuputi, Omari (2011). Kamusi Sanifu ya Kompyuta, Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Toleo la Kwanza 2011, ISBN 978 9987 531 127
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.