Derbe (kwa Kigiriki: Δέρβη, Derbe, pia Δέρβεια, Derbeia) ulikuwa mji wa Wagiriki wa Kale katika rasi ya Anatolia,[1] kusini-magharibi mwa Uturuki wa leo[2].

Kwa sasa ni maghofu tu yanayopatikana km 15 kaskazini-mashariki kwa Karaman[3][4].

Kuanzia mwaka 46 Mtume Paulo alifika mara kadhaa kuinjilisha huko (Mdo 14:6, 14:20, 16:1, 20:4).

Tanbihi hariri

  1. Hannah M. Cotton; Robert G. Hoyland; Jonathan J. Price; David J. Wasserstein (3 September 2009). From Hellenism to Islam: Cultural and Linguistic Change in the Roman Near East. Cambridge University Press. ISBN 978-0-521-87581-3.  Check date values in: |date= (help)
  2. Fant, Clyde E.; Reddish, Mitchell G. (2003-10-23). A Guide to Biblical Sites in Greece and Turkey. Oxford University Press. ISBN 978-0-19-988145-1. 
  3. Bastian Van Elderen, Some Archaeological Observations on Paul’s First Missionary Journey, 157-159 Archived 3 Agosti 2020 at the Wayback Machine..
  4. Steve C. Singleton, Derbe, from Bible Atlas from Space, Deeperstudy.com.
  Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Derbe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.