Elise Foniyama Thiombioano Ilboudo

mwanaakiolojia na mwanasiasa

Elise Foniyama Thiombioano Ilboudo ni mwanahistoria na mwanasiasa kutoka Burkina Faso.[1]

Tarehe 10 Januari 2020, aliteuliwa kuwa Waziri wa Utamaduni, Lugha, na Uhusiano wa Kimataifa wa Burkina Faso.

[2]Ana uhusiano na Chama cha Harakati ya Watu kwa Maendeleo (People's Movement for Progress).[3]

Marejeo hariri

  1. "Ministère de la culture : Elise Foniyama Ilboudo Thiombiano remplace Abdoul Karim Sango". 11 January 2021.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Ministère de la culture : Elise Foniyama Ilboudo Thiombiano remplace Abdoul Karim Sango". 11 January 2021.  Check date values in: |date= (help)
  3. "Ministère de la culture : Elise Foniyama Ilboudo Thiombiano remplace Abdoul Karim Sango". 11 January 2021.  Check date values in: |date= (help)
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Elise Foniyama Thiombioano Ilboudo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.