Emily Blackwell

Alikua Mwanamke wa pili nchini Marekani kupata Shahada ya Utabibu

Emily Blackwell (Oktoba 8, 1826 - Septemba 7, 1910) alikuwa mwanamke wa pili kupata shahada ya utabibu wa tiba katika kile ambacho sasa kinajulikana kama Case Western Reserve University, na mwanamke wa tatu (baada ya dada yake Elizabeth Blackwell na Lydia Folger Fowler) kupata shahada ya utabibu nchini Marekani.[1][2]

Emily Blackwell

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Emily Blackwell kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.