1910
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| ►
◄◄ |
◄ |
1906 |
1907 |
1908 |
1909 |
1910
| 1911
| 1912
| 1913
| 1914
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1910 BK (Baada ya Kristo).
Matukio Edit
Waliozaliwa Edit
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 9 Februari - Jacques Monod, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1965
- 10 Februari - Padre Dominique Pire, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1958
- 13 Februari - William Shockley, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1956
- 1 Machi - A.J.P. Martin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1952
- 23 Machi - Akira Kurosawa, mwongozaji wa filamu kutoka Japani
- 12 Mei - Dorothy Hodgkin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1964
- 12 Juni - Ahmadu Bello, mwanasiasa wa Nigeria
- 19 Juni - Paul Flory, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1974
- 20 Juni - Josephine Johnson, mwandishi kutoka Marekani
- 29 Juni - Frank Loesser, mtunzi kutoka Marekani
- 26 Agosti - Mtakatifu Mama Teresa (Agnes Bojaxhiu), mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1979 kutoka Albania
- 19 Oktoba - Subrahmanyan Chandrasekhar, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1983
- 18 Desemba - Abe Burrows, mwandishi kutoka Marekani
Waliofariki Edit
- 21 Aprili - Mark Twain, mwandishi kutoka Marekani
- 26 Aprili - Bjørnstjerne Bjørnson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1903
- 27 Mei - Robert Koch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1905
- 29 Mei - Mily Balakirev, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 13 Agosti - Florence Nightingale, muuguzi mashuhuri kutoka Uingereza
- 30 Oktoba - Henri Dunant, mwanzishi wa Chama cha Kimataifa cha Msalaba Mwekundu, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1901