Emily Newell Blair

Alikuwa mwandishi na mwanaharakati wa nchini Marekani (1877-1951)

Emily Newell Blair (Januari 9, 18773 Agosti, 1951) alikuwa mwandishi na mwanaharakati wa nchini Marekani. Pia alikua kiongozi wa cha cha siasa cha Democratic Party, na mwanzilishi wa ligi ya wapiga kura wanawake.

Emily Newell Blair

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Emily Newell Blair kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.