English-Swahili Dictionary (TUKI)

KKK/ESD ni kifupi cha "Kamusi ya Kiingereza - Kiswahili" (English-Swahili Dictionary) iliyoandaliwa na wataalamu wa TUKI kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kutolewa mara ya kwanza 1996. Toleo la pili lililoongezeka na kuwa na masahihisho likatolewa mwaka 2000. Toleo la tatu likafuata mwaka 2006.

Kamusi hii inataja maana za Kiswahili kwa maneno zaidi ya 50,000 ya Kiingereza.

Kamusi online hariri

Marejeo hariri