Faith Cherotich (alizaliwa 13 Julai 2004)[1] ni mwanariadha nchini Kenya ambaye alibobea katika mbio za mita 3000 kuruka viunzi. Akiwa na umri wa miaka 17, alishinda nishani ya shaba katika Mashindano ya Riadha ya Dunia ya walio chini ya umri wa miaka 20 mwaka 2021 yaliyoandaliwa Nairobi. Cherotich aliboresha shaba yake hadi dhahabu mwaka mmoja baadaye, na kushinda taji katika Mashindano ya Dunia ya U20 huko Cali.[2][3][4]

Faith Cherotich

Marejeo

hariri
  1. "Faith CHEROTICH – Athlete Profile".
  2. Okeyo, Denis (2021-08-20). "World U-20 Championships: Chepkoech and Cherotich bag gold and bronze respectively in 3000m steeplechase". The Standard (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-11-08.
  3. "Cherotich bags steeplechase gold for Kenya in Cali". KBC (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-11-08.
  4. "Spotlight on Rising Stars: Faith Cherotich and Jaydon Hibbert". World Athletics. 2022-11-08. Iliwekwa mnamo 2022-11-08.
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Faith Cherotich kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.