Fatma Othman Ali
Fatma Othman Ali (alizaliwa 28 Septemba 1950) ni mwanasiasa wa Tanzania ambae amehudumu katika bunge la Tanzania la 9. Ni mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi yaani CCM .[1]
Fatma Othman Ali | |
Member of the Tanzanian Parliament
| |
Muda wa Utawala 2005 – 2010 | |
Constituency | Special Seat |
---|---|
tarehe ya kuzaliwa | 28 Septemba 1950 |
utaifa | Tanzanian |
chama | CCM |
Marejeo hariri
- ↑ "Member of the Tanzanian Parliament". Parliament of Tanzania. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 26 January 2014. Iliwekwa mnamo 19 May 2013. Check date values in:
|archivedate=, |accessdate=
(help)
Chanzo hariri
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |