Felista Njau
Felista Deogratius Njau (alizaliwa Mkoa wa Kilimanjaro) ni mwanasiasa Mtanzania ambaye amekuwa mwakilishi wa Viti Maalum vya wanawake ambapo anahudumu kama mbunge tangu mwaka 2020 kwa niaba ya chama cha kisiasa cha CHADEMA, ambacho hata hivyo hakijamkubalia.[1][2]
Marejeo hariri
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |