Henriqueta Godinho Gomes

aliyekuwa kiongozi wa kisiasa nchini Guinea-Bissau

Henriqueta Godinho Gomes (1942 - 2018)[1] alikuwa kiongozi wa kisiasa nchini Guinea-Bissau.

Gomes alikuwa mwanachama muhimu katika Chama cha Kujitawala kwa Uhuru wa Guinea na Cape Verde (African Party for the Independence of Guinea and Cape Verde) kwa kipindi fulani. Kuanzia miaka ya 1998 hadi 1993, alihudumu kama Waziri wa Maendeleo ya Jamii na Afya ya Umma; kisha kuanzia mwaka wa 1993 hadi 1994, alikuwa Waziri wa Elimu.[2]

Marejeo hariri

  1. https://www.ufrgs.br/africanas/henriqueta-godinho-gomes-1942-2018/ Wasifu wa Mulheres Africanas. Ilirejeshwa tarehe 4 Novemba 2022.
  2. Kathleen E. Sheldon (2005) https://books.google.com/books?id=36BViNOAu3sC Scarecrow Press https://ha.wikipedia.org/wiki/ISBN_(identifier) https://ha.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/978-0-8108-5331-7