Ibrahim Bekakchi

mchezaji soka wa Algeria

Ibrahim El Khalil Bekakchi (alizaliwa 10 Januari 1992, huko Sétif) ni mwanasoka wa Algeria anayechezea klabu ya USM Alger katika Ligi ya Algeria Professionnelle 1.[1]

Ushiriki Katika Klabu hariri

Mnamo Julai 2014, Bekakchi alikopwa na klabu ya CA Bordj Bou Arréridj kwa miaka miwili.[2]

Mnamo 2016, Ibrahim Bekakchi alitia saini mkataba na klabu ya JS Saoura.1.

Kimataifa hariri

Mnamo 2009, Bekakchi alichaguliwa kama mwanachama wa timu ya Algeria ya vijana chini ya umri wa miaka 17 katika Kombe la Dunia la FIFA la U-17 la 2009 nchini Nigeria.[3]

Heshima hariri

  • Kombe la Shirikisho la CAF: 2022–23

Marejeo hariri

  1. "USMA/Bekakchi Signe Pour 2 Ans". 
  2. "Bekakchi finalement prêté au CABBA" (kwa French). USMA.dz. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo November 20, 2016. Iliwekwa mnamo November 19, 2016.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  3. "بكاكشي إبن مدينة سطيف و إبن النادي يرّسم عودته للوفاق لموسمين". 

Viungo Vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ibrahim Bekakchi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.