2009
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 20 |
Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990 |
Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
2005 |
2006 |
2007 |
2008 |
2009
| 2010
| 2011
| 2012
| 2013
| ►
| ►►
Jan.
| Feb.
| Mac.
| Apr.
| Mei
| Jun.
| Jul.
| Ago.
| Sep.
| Okt.
| Nov.
| Des.
Makala hii inahusu mwaka 2009 BK (Baada ya Kristo).
MatukioEdit
- 20 Januari - Barack Obama ametawazwa kama Rais wa 44 wa Marekani, akiwa Rais wa kwanza kuwa Mweusi.
WaliozaliwaEdit
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
WaliofarikiEdit
- 12 Januari - Susanne Wenger, msanii kutoka Austria na kuhani wa Wayoruba nchini Nigeria
- 13 Januari - W. D. Snodgrass, mshairi kutoka Marekani
- 27 Januari - John Updike, mwandishi kutoka Marekani
- 30 Januari - Chedieli Yohane Mgonja, mwanasiasa wa Tanzania
- 28 Machi - Maurice Jarre, mwanamuziki kutoka Ufaransa
- 31 Machi - Raúl Alfonsín, rais wa Argentina (1983-1989)
- 21 Aprili - Santha Rama Rau, mwandishi kutoka Uhindi
- 24 Aprili - Phares Kashemeza Kabuye, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 19 Mei - Robert Furchgott, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1998
- 8 Juni - Omar Bongo, Rais wa Gabon (1967-2009)
- 25 Juni - Michael Jackson, mwimbaji kutoka Marekani
- 28 Juni - Billy Mays, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1 Agosti - Corazon Aquino, Rais mwanamke wa Ufilipino (1986-1992)
- 18 Agosti - Kim Tae Jung, Rais wa Korea Kusini (1998-2003)
- 14 Septemba - Patrick Swayze, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 8 Novemba - Vitali Ginzburg, mwanafizikia kutoka Urusi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2003
- 20 Desemba - Brittany Murphy, mwigizaji na mwimbaji kutoka Marekani
- 21 Desemba - Edwin Krebs, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1992
- 26 Desemba - Dennis Brutus, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 30 Desemba - George Miok, mwanajeshi wa Kanada
- 31 Desemba - Rashidi Kawawa, mwanasiasa kutoka Tanzania
Viungo vya njeEdit
Wikimedia Commons ina media kuhusu: