Ingaigwanak

Viongozi Wanawake wa Kimasai

Ingaigwanak ni mfumo mpya wa uongozi wa wanawake ulioanzishwa katika jamii ya Wamasai nchini Tanzania.[1] Mfumo huu unaoruhusu wanawake kuwa viongozi, ulibuniwa na kuasisiwa na Rose Njilo ambaye ni Mkurugenzi mtendaji wa Asasi isiyo ya Kiserikali ya Mimutie Women Organization.[2]

Engaigwanan ni Viongozi Wanawake wa kimila watakaojihusisha na shughuli mbalimbali za kijamii kama kupinga Ukatili wa kijinsia pamoja na nyinginezo.

Marejeo

hariri

Viungo vya Nje

hariri
  Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ingaigwanak kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.