Israel Inaipenda Iran

Israeli Inaipenda Iran ni shirika lililoanzishwa na mbunifu wa picha wa huko Israeli na mmiliki wa Pushpin Mehina, Ronny Edry, alipochapisha kwa mara ya kwanza picha yake na binti yake mdogo kwenye Facebook na mchoro unaosema "Wairani, tunakupenda, tunakupenda, kamwe hatutopiga nchi yako." Picha hiyo ilisambaa kwa kasi, na kuibua kampeni ambayo imeenea na kujumuisha mamia ya maelfu ya watu katika nchi nyingi tofauti;

Israel inaipenda Iran imehamasisha kampeni nyingi za namna hiyo, zikiwa ni pamoja na "Iran Inaipenda Israel".

Marejeo hariri