Kabulasoke
Kabulasoke ni mji wa wilaya ya Gomba katika Mkoa wa Kati huko Uganda.
Mahali hariri
Mji uko katika Kaunti ndogo ya Kabulasoke, ikiwa ni moja ya parokia tisa katika kitengo hicho cha utawala.[1]
Marejeo hariri
- ↑ LCMT (21 August 2015). "Parishes in Kabulasoke Subcounty, Gomba District, Uganda". Land Conflict Mapping Tool (LCMT). Iliwekwa mnamo 21 August 2015. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kabulasoke kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |