Ramani

uwakilishi wa kuona wa nafasi ya dhana; taswira inayosisitiza uhusiano kati ya vipengee vya nafasi fulani, kama vile vitu, maeneo au mada.

Ramani ni picha - kwa kawaida mchoro - ya dunia au sehemu au sifa zake.

Ramani ya dunia ya mwaka 1662
Ramani yaonyesha kilele cha mlima Kilimanjaro na mistari ya kimo
Ramani ya muundo wa usafiri wa reli ndani ya mji wa London, Uingereza

Ni tofauti na picha iliyopigwa kwa kamera kutoka ndege au chombo cha angani kwa sababu mchora ramani anachagua anachotaka kuonyesha na kuzipa uzito sifa anazotaka kuziwekea mkazo.

Kuna aina nyingi za ramani:

Kila mchoraramani anahitaji kuchagua jinsi ya kuonyesha mambo yake. Kwa ramani za kijiografia tatizo hutokana na umbo la dunia ambalo ni tufe wakati ramani kwa kawaida ni karatasi bapa.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.